Storymoja Know More Art and Craft Grade 5 by Storymoja
KSh577.00 Original price was: KSh577.00.KSh520.00Current price is: KSh520.00.
Know More Art and Craft Learner’s Book for Grade 5 is written in conformity to the new competency-based curriculum design to assist learners carry out various interactive learning activities.
The book provides learners with opportunities to develop core competencies, values, skills and attitudes.
ISBN: 9789966623812
Related products
-
OUP Kiswahili Dadisi Grade 5 Kitabu cha mwanafunzi (Approved) by J. Ndege, P. Kea, E. Osoro, Z. Mucheria
KSh566.00Original price was: KSh566.00.KSh510.00Current price is: KSh510.00.Add to cartKiswahili Dadisi ni msururu wa vitabu vipya vilivyoandikwa kwa njia ya kipekee ili kutosheleza mahitaji ya mtalaa wa umilisi. Vitabu hivi vitamwezesha mwanafunzi kupata ufahamu wa lugha kupitia stadi za kusikiliza, kuzungumza, kusoma na kuandika, na vilevile sarufi. Aidha, vina mazoezi murua ambayo yatampa mwanafunzi hamu ya kujifunza. Pia vinakuza umilisi uliopendekezwa, maadili na kufahamisha kuhusu masuala ibuka.
Katika Kiswahili Dadisi, Kitabu cha Mwanafunzi, Gredi ya 5, utapata:
• mada zilizopangwa kwa kuzingatia muainisho wa mtalaa mpya.
• mifano halisi ya miktadha ambapo lugha hutumika.
• mazoezi ya kuwahamasisha wanafunzi kuendeleza ujifunzaji nje ya darasa na yale yenye kuwashirikisha katika shughuli za
kijamii zinazokuza ujifunzaji.
• mazoezi yanayomhusisha mwanafunzi moja kwa moja.
• jinsi ya kuwashirikisha wazazi na walezi ili kuimarisha uwajibikaji.
• vifungu vya kumburudisha na kumfikirisha mwanafunzi katika sehemu ya ‘Burudika’.
Kiswahili Dadisi, Kitabu cha Mwanafunzi kina Mwongozo wa Mwalimu ambao pia una mazoezi na maelekezo tosha ambayo mwalimu atahitaji ili kumwongoza mwanafunzi aweze kufaulu katika mtalaa huu wa umilisi.ISBN: 9780195749052
-
EAEP Kiswahili Angaza Kitabu cha Mazoezi Grade 5 by M. Banda na S. Otieno
KSh566.00Original price was: KSh566.00.KSh510.00Current price is: KSh510.00.Add to cartKiswahili Angaza, Kitabu cha Mazoezi, Gredi ya 5 ni kitabu kilichoandikwa kwa ubunifu ili kuimarisha maarifa ya mwanafunzi kupitia mazoezi. Mazoezi kwenye kitabu hiki yamewasilisha kikamilifu mahitaji ya Mtalaa wa Umilisi. Mazoezi haya yatamwezesha mwanafunzi kukuza stadi zinazohitajika, maadili na kukabiliana na masuala mtambuko.
Kitabu hiki kimezingatia mambo sita muhimu katika ujifunzaji wa lugha:
• Mazoezi mbalimbali yanayopalilia na kushadidia umilisi wa mwanafunzi
• Kimeangazia stadi zote za kujifunza lugha ambazo ni: Kusikiliza, kuzungumza, Kusoma na kuandika.
• Picha ya muhtasari inayoeleza yale yatakayoshughulikiwa kwa kila stadi ya ujifunzaji.
• “Sasa ninajua’ na Jitathmini’ ambavyo ni vidokezo vya kujifunzia na kuimarisha umilisi baada ya mazoezi.
• Kimetumia lugha nyepesi iliyokomaa na inayoweza kueleweka na mwanafunzi kwa urahisi.
• Picha zilizotumika zimechorwa vizuri na kikamilifu. Kila mada imeanza kwa picha ambayo inasisimua hamu ya mwanafunzi ya kujifunza.Waandishi wa kitabu hiki ni wale wale waandishi wa vitabu maarufu uvipendavyo vya Kiswahili Angaza Gredi ya 1, 2, 3, 4 na 5, na wana uzoefu mkubwa na wamekiandika kitabu hiki kwa utaalamu mkuu.
ISBN: 9789966565792
-
OUP Everyday Science and Technology Learner Grade 5 (Approved) by J. Odhiambo, L.Chimba, J. Mwende, P. Mumo and W. Nyabera
KSh566.00Original price was: KSh566.00.KSh510.00Current price is: KSh510.00.Add to cartEveryday Science and Technology Learner’s Book, Grade 5
Everyday Science & Technology is a new series for the Competency-Based Curriculum. It is specially written to provide practical experiences that equip learners with knowledge and skills that will enable learners to develop a positive attitude towards Science & Technology as a learning area and also appreciate its importance in their everyday life. Books in this series provide a range of activities that learners will find exciting and motivating The activities are aimed at enabling learners to acquire the core competencies and values as well as embrace the pertinent and contemporary issues (PCIS).Everyday Science & Technology Learner’s Book Grade 5 has:
• Numerous interactive activities to enable learners to acquire practical skills to solve problems in their environment.
• Think about these sections aimed at bringing out critical thinking and problem-solving skills in learners.
• Home tasks to allow learners to engage family and the community in the learning process.
• Digital corner sections that allow learners to apply digital technology in learning.
• My dictionary sections to enable learners to acquire new scientific vocabulary.
Together, the Learner’s Book and the Teacher’s Guide provide learners and teachers with all they need to succeed in the new Competency-Based Curriculum. Oxford, your companion for success! Everyday Everyday Everyday
ISBN: 9780195749250
-
OUP Let’s Do Mathematics Learner Grade 5 (Approved)
KSh605.00Original price was: KSh605.00.KSh545.00Current price is: KSh545.00.Add to cartLet’s Do Mathematics Learner’s Book, Grade 5
Let’s Do Mathematics is a new series for the Competency-Based Curriculum. It is specially written to provide practical experiences that equip learners with knowledge and skills that will enable learners to develop a positive attitude towards mathematics as a learning area and also appreciate its importance in their everyday life. Books in this series provide a range of activities that learners will find exciting and motivating. The activities are aimed at enabling learners to acquire the core competencies and values as well as embrace the pertinent and contemporary issues (PCIS).
Let’s Do Mathematics Learner’s Book Grade 5 has:
• Numerous interactive activities to enable learners to acquire
practical skills to solve problems in their environment.
• Think and Do sections that comprehensively guides learners on how to tackle various problems in mathematics.
• Challenge sections aimed at bringing out critical thinking and problem-solving skills in learners.
• Home tasks to allow learners to engage family and the community in the learning process.
• Digital corner sections that allow learners to apply digital technology in learning.Together, the Learner’s Book and the Teacher’s Guide provide learners and teachers with all they need to succeed in the new Competency-Based Curriculum.
ISBN: 9780195749076
-
KLB Visionary Mathematics Learner’s Grade 5 (Approved) by MWANGI
KSh516.00Original price was: KSh516.00.KSh465.00Current price is: KSh465.00.Add to cartKLB Visionary Mathematics for Grade 5 Learner’s Book is designed to help the learners acquire computational skills at this level. The book contains numerous activities that enable the learner to develop numeracy skills without undue difficulty.
• This book is developed in line with the requirements of the Competency-Based Curriculum and subject design.
• The content is presented in concise language appropriate to the level of the learner.
• The style is simple, making the book highly readable and the concepts easy to understand.
• The book contains full-colour illustrations designed to hold the attention and interest of the learners.
• The learner’s book has employed a learner-centered approach where all experiences are centered on the learner’s interests, knowledge, and application to real-life situations.
• Every lesson draws from day-to-day occurrences which form the basis for lesson introduction.
• The book has numerous practical activities and examples that enable the learner to learn on their own with minimum input from the teacher.ISBN: 9789966656582








Reviews
There are no reviews yet.