Kiswahili Taaluma kitabu cha Chekechea by Cecilia Wamuyu
KSh388.00 Original price was: KSh388.00.KSh350.00Current price is: KSh350.00.
ISBN: 2010127000162
Related products
-
EAEP Akili pevu Kiswahili Angaza Gredi 1 (Approved)
KSh555.00Original price was: KSh555.00.KSh500.00Current price is: KSh500.00.Add to cartKiswahili Angaza ni kazi iliyosukwa na kuwambwa kwa makini na kwa kina kirefu. Imetimiza kwa ukomo wa ukamilifu mahitaji ya mtalaa mpya wenye kuzingatia umilisi, yaani, Competency-Based Curriculum, 2018. Kitabu hiki kimeandikwa kwa mtindo unaomwegemea mwanafunzi zaidi na kumfanya mwalimu awe mwelekezi tu wala si mtoaji wa elimu. Kitabu hiki kinazingatia mambo matano muhimu:
1. Kusoma ni kutagusano; wanafunzi wanafanya Shughuli mbalimbali wakiwa peke yao, wawili wawili au katika makundi;
2. Wanafunzi wancionza kilo somo kwa kuelezea picha au hall amo matukio wanayoyafomu huku wakijadiliana;
3. Wanafunzi wanashiriki katika stadi nyingi za kufikiria kama vile kuchanganua, kutambuo, kubainisha, kujenga na kuhakiki;
4. Lugha iliyotumika ni nyepesi mno no isiyokuwa no maneno mogumumagumu no misomiati ya kubaboisha;
5. Mwanafunzi no mwanafunzi mwenzoke, pamoja na mwolimu, mzazi na hata jornii nzimo wanashirikishwa ndani ya kitobu hiki.ISBN: 9789966562821
-
KLB Visionary Hygiene & Nutrition GD1
KSh340.00Original price was: KSh340.00.KSh300.00Current price is: KSh300.00.Add to cartHygiene and Nutrition Activities is a course intended to equip learners with basic knowledge, skills. and attitudes that promote a happy and healthy lifestyle. The learner is empowered to take care of his or her own wellbeing as well as that of others. The learner is sensitized to adopt healthy practices in order to prevent the occurrence of infections associated with poor hygiene and sanitation practices.
This Learner’s Workbook for Grade 1 comprehensively covers the 2017 competency-based curriculum. The learning activities are presented in a simple concise language and in an attractive layout designed to make the workbook learner friendly.
This workbook incorporates Pertinent and Contemporary Issues (PCIs) as required in the curriculum designs. Some PCIs addressed include education in the following areas: life skills and values, health, and environment.
ISBN: 9789966652386
-
Stadi za Kiswahili Shughuli za Lugha Kitabu cha Mwanafunzi Gredi 1
KSh355.00Original price was: KSh355.00.KSh320.00Current price is: KSh320.00.Add to cartStadi za Kiswahlli ni Kitabu cha Mwanafunzi, Gredi ya 1 ni kitabu cha ziada kilichoandakwa kwa mujibu wa mtaala mpya uegemeao umilisi uliozinduliwa na Taasisi ya Ukuzaji Mitaala ya Kenya (KICD) mnamo Septemba 2017. Kitabu hiki kimejumuisha mada zote kuu na ndogo zilizomo katika ruwaza ya mtalaa ya Kiswahili Gredi ya 1. Isitoshe, mada kuu na ndogo zimepangwa kulingana na jinsi zilivyopongwa katika ruwaza hiyo. Fauka ya haya, yaliyomo yamewasitishwa kwa ubunifu wa hali ya juu kuyaoanisha na umilisi wa kimsingi, masuala mtambuko, maadili miongoni mwa masuala mengine yanayofumbatwa na mtaala mpya uegemeao umilisi. Kitabu hiki kimejumuisha shughuli za aina nyingi za kufanywa na mwanafunzi binafsi, wanafunzi wawili wawili na makundi ya wanafunzi. Kazi na shughuli za wanafunzi wawiliwawili na wanafunzi katika makundi zinadhamiriwa kuimarisha stadi za kusikitiza na kuzungumza na vilevile umilisi wa ushirikiano na mawasiliano. Aidha, kitabu hiki kimesheheni vifungu vya kusoma na vya kuchangamsha vitakavyomsaidia mwanafunzi kuimarisha stadi ya kusoma. Stadi ya kuandika haijaachwa nyuma. Kitabu kinazo shughuli za kutosha za mwanafunzi iii kustawisha stadi ya kuandika.
ISBN: 9789966630520
-
Longhorn English Literacy Activities Learner’s Book Grade 1
KSh486.00Original price was: KSh486.00.KSh440.00Current price is: KSh440.00.Add to cartLonghorn English Literacy Activities Grade 1 Learner’s Book is a book based on the new competency-based curriculum. It promotes the acquisition of core competencies, relevant literacy skills, positive attitudes and values by learners. It also promotes practical application of the knowledge gained in class.
Content in the book is based on the general experiences of the learners as well as Pertinent and Contemporary Issues (PCIs) given in the curriculum. The content is organised in simple but thought-provoking activities that promote critical thinking and problem solving skills as well as acquisition of important life skills among leamers for a responsible response to challenges in the society.
-
Storymoja Know More Art and Craft Grade 1
KSh533.00Original price was: KSh533.00.KSh480.00Current price is: KSh480.00.Add to cartKnow More Art and Craft Learner’s Book for Grade 1 is written in conformity to the new competency-based curriculum design to assist learners carry out various interactive learning activities.
The book provides learners with opportunities to develop core competencies, values, skills and attitudes.
ISBN: 9789966622259








Reviews
There are no reviews yet.