Mastering Computers Book 5 (Smartbrains)
KSh555.00 Original price was: KSh555.00.KSh500.00Current price is: KSh500.00.
Mastering Computers Book 5 introduces the learner beyond hardware part of the computer. It helps the learner understand the
way computer works in a very basic and easy way.
ISBN: 2010108000144
Related products
-
Queenex English Activities Grade 5 (Approved) by AGOLA
KSh606.00Original price was: KSh606.00.KSh545.00Current price is: KSh545.00. -
JKF Foundation French Learner’s Grade 5 (Approved) by B.Nzuki, T.Okeno and V.Otieno
KSh516.00Original price was: KSh516.00.KSh465.00Current price is: KSh465.00.Add to cartFoundation French Grade 5, Livre de L’élève est destiné à des apprenants précoces. Il s’adresse à des apprenants qui viennent de terminer l’apprentissage du français langue étrangère Grade 4 selon le Curriculum axé sur les compétences (CBC).
Le livre fournit à l’apprenant de compétences et de connaissances de la langue française dans des situations réelles et leurs donne les outils nécessaires pour échanger facilement dans un environnement francophone.
Ce livre de l’élève généralement s’agit de 11 unités qui s’organisent dans la façon suivante: . La plupart de pages représentent une leçon complète avec des
activités. Enfin, une évaluation formative est proposée à la fin de chaque leçon qui permet l’apprenant d’apprécier le chemin parcouru et de s’arrêter sur ses difficultés ou de remédier à ses manques.ISBN: 9789966511904
-
EAEP Kiswahili Angaza Kitabu cha Mazoezi Grade 5 by M. Banda na S. Otieno
KSh566.00Original price was: KSh566.00.KSh510.00Current price is: KSh510.00.Add to cartKiswahili Angaza, Kitabu cha Mazoezi, Gredi ya 5 ni kitabu kilichoandikwa kwa ubunifu ili kuimarisha maarifa ya mwanafunzi kupitia mazoezi. Mazoezi kwenye kitabu hiki yamewasilisha kikamilifu mahitaji ya Mtalaa wa Umilisi. Mazoezi haya yatamwezesha mwanafunzi kukuza stadi zinazohitajika, maadili na kukabiliana na masuala mtambuko.
Kitabu hiki kimezingatia mambo sita muhimu katika ujifunzaji wa lugha:
• Mazoezi mbalimbali yanayopalilia na kushadidia umilisi wa mwanafunzi
• Kimeangazia stadi zote za kujifunza lugha ambazo ni: Kusikiliza, kuzungumza, Kusoma na kuandika.
• Picha ya muhtasari inayoeleza yale yatakayoshughulikiwa kwa kila stadi ya ujifunzaji.
• “Sasa ninajua’ na Jitathmini’ ambavyo ni vidokezo vya kujifunzia na kuimarisha umilisi baada ya mazoezi.
• Kimetumia lugha nyepesi iliyokomaa na inayoweza kueleweka na mwanafunzi kwa urahisi.
• Picha zilizotumika zimechorwa vizuri na kikamilifu. Kila mada imeanza kwa picha ambayo inasisimua hamu ya mwanafunzi ya kujifunza.Waandishi wa kitabu hiki ni wale wale waandishi wa vitabu maarufu uvipendavyo vya Kiswahili Angaza Gredi ya 1, 2, 3, 4 na 5, na wana uzoefu mkubwa na wamekiandika kitabu hiki kwa utaalamu mkuu.
ISBN: 9789966565792
-
Moran CBC Breakthrough Agriculture Workbook Grade 5 by Moran
KSh622.00Original price was: KSh622.00.KSh560.00Current price is: KSh560.00.Add to cartCBC Breakthrough Workbook Grade 5 Agriculture is a one-stop source of extended learning activities based on the Competency Based Curriculum. The workbook is a curriculum companion aimed at supporting the learner to develop skills and concepts in Agriculture. The specific learning outcomes integrate the required competencies, PCls and values in the learner’s activities. The workbook is packed with benefits to the learner, teacher and parent or guardian.
ISBN: 9789966633316
-
Longhorn Mwanga wa Kiswahili Mwanafunzi Grade 5 (Approved) by K. Ngere, M. Kikwanuu, H. Kangai and Walla bin Walla
KSh677.00Original price was: KSh677.00.KSh610.00Current price is: KSh610.00.Add to cartLonghorn Mwanga wa Kiswahili Gredi ya 5 (Kitabu cha Mwanafunzi) ni kitabu kilichoandikwa kwa ustadi na umahiri mkubwa. Kimeandikwa kwa lugha nyepesi ya kiwango cha mwanafunzi wa gredi ya nne. Kitabu hiki kinatosheleza kikamilifu mahitaji ya mtaala mpya wa umilisi pamoja na malengo ya elimu ya taifa la Kenya. Kimeshughulikia wanafunzi wote wakiwemo walio na mahitaji maalum pamoja na wanaoishi kwenye mazingira mbalimbali. Kitabu hiki kitamwangazia na kumwezesha mwanafunzi:
• kuwa na uwezo wa kuwasiliana na wenzake,
• kujiamini na kujithamini,
• kuwaza kwa kina na kupata suluhu ya matatizo,
• kuwa raia mwadilifu na mzalendo,
• kutumia vifaa mbalimbali vya kidijitali.
Upekee wa kitabu hiki ni kuwashirikisha wanafunzi kwa kiwango kikubwa katika ujifunzaji. Mlezi pia ameshirikishwa hasa katika mazoezi ya ziada. Mwishoni mwa kila mada kuu kuna zoezi la kuzichangamsha akili za wanafunzi ili kukumbuka waliyosoma.
Kitabu hiki kina mwongozo wa mwalimu ambao utamwelekeza mwalimu katika kutekeleza wajibu wake. Bila shaka, mwanga wa kitabu hiki utaangaza na kukikuza Kiswahili angavu miongoni mwa wanafunzi. Waandishi wa kitabu hiki ni walimu na watahini wenye ujuzi wa kutosha katika ufundishaji wa Kiswahili kwa miaka mingi.ISBN: 9789966643155








Reviews
There are no reviews yet.