Where Are My Shoes? 1U
KSh250.00 Original price was: KSh250.00.KSh225.00Current price is: KSh225.00.
ISBN: 9780195737790
Related products
-
Siri ya baba yangu kitabu cha kwanza by Yahya Mutuku
KSh355.00Original price was: KSh355.00.KSh320.00Current price is: KSh320.00.Add to cartNi wakati wa usiku, usiku wa mashetani wakati kijana Fadhili anapozinduka na kumfumania baba yake akiufunga mlango wa chumba chake. Ni baba anayetekeleza mpango wa siri asiofaa kuujua Fadhili.
Fadhili anaamua kukitegua kitendawili cha tukio hilo kwa kujiingiza katika hatari zisizo kifani. Hii ni mojawapo ya hadithi ambayo imefumwa ikafumika mfumo ambao utamshangaza yeyote atakayeisoma.ISBN: 9789966075604
-
Ahaa! Roda by Nyambeka
KSh355.00Original price was: KSh355.00.KSh320.00Current price is: KSh320.00.Add to cartRoda ni msichana mdogo ambaye ana ndoto ya kufanikiwa maishani – ndoto ya kuwa jaji. Maisha katika kijiji cha Tupe si rahisi hata kidogo. Kwanza anatoweka asijulikane alipo. Pili mama yake anauawa kinyama na watu wasiojulikana. Baada ya mazishi ya mama yake, mjomba wake Bwana Kilemba anamchukua ili kumtunza. Mke wake Bibi Mnuna yuaonekana kutopendezwa na hatua hiyo. Anageuka kuwa katili kwake Roda. Je, Roda ataweza kuitimiza ndoto yake mikononi mwa Mnuna? Usisubiri kuambiwa uisome hadithi hii.
ISBN: 9789966075628
-
Wendo tours Nairobi County by (Omwocha)
KSh322.00Original price was: KSh322.00.KSh290.00Current price is: KSh290.00.Add to cartWendo Wanani is a pupil at Kaptiket Primary school in Kericho County.
She has never been to Nairobi. She takes part in an essay writing competition titled ‘Kenya, my Beautiful Land,
and is invited to Nairobi for the finals.
Together with nine other pupils from different schools across the country,
Wendo’s reward is to tour the city under the sun – Nairobi. From parks to statues,
museums to roads she has never heard about, Wendo is on a discovery mission.ISBN: 9789966140104
-
The Adventures of Thunder by Queenex
KSh350.00Original price was: KSh350.00.KSh320.00Current price is: KSh320.00.Add to cartWwesonga Ongulu hates just being an ordinary boy like his brother. He believes he is actually THUNDER itself roaring up there in the skies, and therefore goes out to do things that lesser boys cannot dare. Will he succeed? Find out what he does to live up to his thunderous name… and the thunderous trouble he finds himself int
-
Ushindi wa Kironje na hadithi nyingine
KSh322.00Original price was: KSh322.00.KSh290.00Current price is: KSh290.00.Add to cartHuu ni mkusanyiko wa hadithi kumi na mbili, zenye mafunzo sufufu katika jamii ya leo. Ni hadithi ambazo zitakufanya uache kula pilau kwa samaki ili uzisome kwanza! utakapokuwa ukizisoma, zitakufanya usahau ulikuwa na mlo mezani kutokana na ucheshi uliomo. Hadithi hizi zinanuia kuwafundisha wanafunzi maadili ili wajenge mustakabali.
ISBN: 9789966140029







Reviews
There are no reviews yet.